YANGA YAPAA KILELENI MWA VPL Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps January 29, 2017 Mabingwa watetezi wa taji la VPL wamerudi kileleni mwa ligi mara baada ya ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Mwadui FC na kufikisha pointi 46 pointi moja mbele ya watani wao wa jadi Simba SC wenye pointi 45. Read more