YANGA YAPAA KILELENI MWA VPL

Mabingwa watetezi wa taji la VPL wamerudi kileleni mwa ligi mara baada ya ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Mwadui FC na kufikisha pointi 46 pointi moja mbele ya watani wao wa jadi Simba SC wenye pointi 45.



Comments

Popular posts from this blog

Magonjwa 10 Muhimu ya Kupima na Mpenzi wako Kabla ya Kuzaa Mtoto